Pamoja na Kusisitiza kuwa hana chama chochote kwa sasa, Dk Slaa amehutubia mkutano wa ndani wa CHADEMA na kukisifu chama hicho kwa ustahimilivu mkubwa kipindi cha nyakati ngumu
Karatu ambayo ndio wilaya pekee nchini yenye mnara wa historia ya kuanzishwa kwa vijiji vya Ujamaa, sasa iko mbioni kujenga mnara mwingine wa kitaifa.
Baraza la wazee wilayani Karatu kwa!-->!-->!-->…
Wamekuwa wakiishi maisha ya porini tangu kuumbwa kwa dunia, lakini sasa jamii ya Wahadzabe waishio wilayani Karatu, Mkoani Arusha, wamegundua umuhimu wa kujiunga na elimu rasmi mashuleni
Mawe kadha ya ajabu kutoka sayari za mbali, maarufu kama Vimondo, yamekwisha kuanguka sehemu mbalimbali nchini Tanzania. Je, kuna nini cha ziada eneo hili?